News and Events
CHUO CHA AFYA CHA KANGE : Kinakutangazia Nafasi za Masomo Kwa Mwaka 2023/2024 Kwa Kozi ya Diploma ya Clinical Medicine.
Jinsi ya kuomba,kama ni mara yako ya kwanza bonyeza neno Mpya, Kama sio mara ya kwanza bonyeza neno Endelea
CHUO CHA AFYA CHA KANGE : kinatangaza nafasi ya kuhamia katika ngazi ya (4 na 5) kozi ya clinical medicine muhura wa kwanza(semester i) kwa mwaka wa masomo 2023/2024, kwa ofa ya gharama nafuu ya masomo.
Downloads
Please click the link below to download form
Advertisement
The college invites
applicants who are self-motivated, honest, hardworking and commited to fill mentioned positions
at KACOHAS.
Click to DownloadVacancy Positions
As Advertised on 15th July 2023Jinsi Ya Kujiunga Na Chuo
Maombi yanapokelewa moja kwa moja NACTE. Sifa za kujiunga na Chuo, Uwe na ufaulu wa alama D Nne katika masomo ya Physics,Biology,Chemistry pamoja na somo lolote isipokuwa somo la Dini. Ada ni 1.4M, na unalipa kwa awamu nne. Pia hosteli zipo na ni bure kabisa,internet ya bure inapatikana chuoni.Maombi yote yatumwe kwa Mkuu wa chuo, S.L.P 5079 Tanga au kupitia barua pepe. kacohas2022@gmail.com. Tarehe ya kuripoti chuoni Kwa watakaochaguliwa kujiunga na chuo, tarehe.... Kwa mawasiliano zaidi tupigie kwa nambari 0672187936 au 0757321823, Wote wenye sifa mnakaribishwa. Imetolewa na Mkuu wa CHUO KACOHAS TANGA.
About Us
We are a health-promoting college that is committed to invest in human and specialized medical technologies to produce the best experts and solutions to various local and global health and medical problems.
We provide our education basing on designated bodies such as
- Competency-based education and training (CBET).
- Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDEC).
- Health Laboratory Practitioners Council (HLPC).
- Pharmacy Council, Medical Council of Tanganyika (MCT).
Also, through observable and measurable performance metrics that learners must attain to be deemed competent and experts. The CBET offered by our college is in compliance with NACTE, recognized health professional organizations and other designated bodies.
INSTITUTION PROGRAMMES
Kange College of Health and Allied Sciences (KACOHAS) is offering the following courses under NACTE regulations namely.
Entry Requirements
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes in Chemistry, Biology and Physics/Engineering Sciences With grade D. A pass in Basic Mathematics and English Language is an added advantage.Entry Requirements
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes in Chemistry, Biology and Physics/Engineering Sciences With grade D. A pass in Basic Mathematics and English Language is an added advantage.Our Skilled Tutors
Emanuel M.Nkaicha
Director
Dr. Osmound Mapunda
Principal
Mr. Ally Abubakar
Administrator
Dr. Dominick Masunzu
Academic Officer
Mr. Bathoromeo Sigalla
Examination Officer and ICTGallery
FEE STRUCTURE
FEE STRUCTURE FOR COURSES BEING OFFERED BY KACOHAS
TUITION FEES
- RESPONSIBLE: All Students
| Course |
Fees | Installments |
| Ordinary Diploma in Clinical Medicine |
1,400,000 Tshs |
4 Installments |
| Ordinary Diploma in Nursing and Midwifery |
1,400,000 Tshs |
4 Installments |
| Ordinary Diploma in Medical Laboratory |
1,400,000 Tshs |
4 Installments |
- NB: Hostel is Free.
Frequently Asked Questioins
-
Where is the college located?
Kange College of Health and Allied Sciences is located at (Tanga Town) about 2KM from New Bus Station (Kange Station).The college is fully registered and accredited by the National Council for Technical and Vocational Education Training(NACTEVET) with Registration number REG/HAS/204P and working closely with the Ministry of Health to train health professionals, conduct innovative researches, provide consultancy and public services.
-
What are the courses that the college provides?
Kange College of Health and Allied Sciences provides Diploma courses, such as Clinical Medicine, Nursing and Midwifery and Medical Laboratory Sciences.








